KAULI YA RAIS JPM KUHUSU AJIRA MBALIMBALI TANZANIA


 Amesema kwamba;
"Sitambui kama usitishwaji wa ajira bado unaendelea mimi nilisitisha kwa miezi miwili tuu baada ya miezi hiyo kuisha zoezi la kuajiri liliendelea na hata juzi tumeajiri madoctor na tunatarajia kuajiri wengine 5000 keshokutwa..ni maneno ya mkuu wa Nchi alipokuwa na mahojiano leo na wahariri mbalimbali" 
KAULI YA RAIS JPM KUHUSU AJIRA MBALIMBALI TANZANIA KAULI YA RAIS JPM KUHUSU AJIRA MBALIMBALI TANZANIA Reviewed by bloger on November 04, 2016 Rating: 5

No comments

Business

Post Navigation Display